Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» »Unlabelled » Picha za Rolene Strauss Baada Ya Kushinda Miss World 2014.


TZ MZUKA 14:49 0

Screenshot_2014-12-14-19-59-15
Mrembo wa Afrika Kusini Rolene Strauss ameshinda Miss World 2014 nakuchukuta taji kutoka kwa Megan kutoka Philippines kwenye show iliyofanyika ExCeL Exhibition Centre mjini London.
Rolene mwenye miaka 22 ambaye ni mwanafunzi anayesomea udaktari alisema “Hii kwaajili ya Afrika Kusini, nitajipanga kwaajili ya kinachokuja kutokea, haya ni majukumu makubwa sana
Megan naye alisema ” Natarajia Rolene atakuwa na furaha kwenye mwaka wake kama mimi
Mshindi wa pili ni Edina Kulcsar wa Hungary na watatu ni kutoka Marekani Elizabeth Safrit.
Screenshot_2014-12-14-18-19-12 Screenshot_2014-12-14-19-23-46 Screenshot_2014-12-14-19-36-08   Screenshot_2014-12-14-19-58-00  Screenshot_2014-12-14-19-59-25

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani