Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» »Unlabelled » Video Tatu Kutoka Nigeria Zimetazamwa Zaidi Youtube Mwaka Huu.


TZ MZUKA 13:38 0


Davido
Mtv Base imeripoti kuwa video ya msanii Davido “Aye”  ndio video ya Nigeria iliyotazamwa zaidi kwenye mtandao wa YouTube. Video ya Aye imetayarishwa na muongozaji wa video maarufu Afrika Clarence Peters.
Video inayofata kwenye orodha hio ni “Dorobucci” ya Mavins ambao ni  Don Jazzy, Tiwa Savage, Dr SID, D’Prince, Reekado Banks, Korede Bello, Di’J. Video namba tatu ni video ya  Tiwa Savage’s “Wanted”.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani