Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» »Unlabelled » Baada ya Nikki Mbishi kutangaza kuacha muziki, haya ndio maneno ya Chid Benz


TZ MZUKA 05:29 0

.
.
Baada ya msanii wa Hip Hop Nikki Mbishi aka Baba Malcom kutangaza kuwa ameacha kufanya kazi ya muziki sasa Chid Benz amekanusha taarifa hizo na kusema kuwa ameshafanya mazungumzo na msanii huyo  na kumtaka asichukue uamuzi huo mapema kwani  yeye amepitia katika changamoto hizo.
.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani