Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » PICHA;Amber Rose ndani ya Nigeria kwenye party ya miaka 10 ya D’Banj kwenye muziki


TZ MZUKA 00:20 0

 Juzi January 31 kafanya  party Lagos, Nigeria, staa mwanamitindo kutoka Marekani ambaye alikuwa mpenzi wa Rapper Wiz KhalifaAmber Rose  alishuka Lagos Naija, kumpa shavu D Banj kwenye celebration ya miaka 10, Amber alikuwa MC kwenye event hiyo.

 Koko Master, D’Banj mtu mkubwa kwenye muziki anayeiwakilisha Nigeria na Afrika kwenye ramani ya dunia hakika anajivunia mengi kwenye safari yake, mafanikio ya kufanya kazi na lebo ya GOOD MUSIC ya Kanye West ni zawadi kubwa kwake kwenye hii miaka kumi.







«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani