UEFA CHAMPIONS LEAGUE: REAL MADRID 1 vs 0 ATLETICO MADRID JAVIER HERNANDEZ AIPELEKA REAL NUSU FAINALI!
TZ MZUKA
13:58
0
Javier Hernández aliwafungia bao Real
Madrid dakika za majeruhi na kufanya 1-0 dhidi ya Atletico Madrid, Ni
Baada ya kupewa pasi ndani ya boksi na Staa wa Real Cristiano Ronaldo na
kufunga bao hilo la Ushindi. Real wamesonga hatua ya Nusu faonali kwa
Ushindi wa bao la Chicharito. Mtanange huu pia Atletico Madrid
walimaliza pungufu wachezaji 10 Uwanjani baada ya mwenzao Arda Turan
kuoneshwa kadi njano ya pili na kuoneshwa kadi Nyekundu kwa kumchrzea
rafu mbaya mchezaji wa Real Madrid Sergio Ramos.
VIKOSI:
Atletico Madrid: Oblak, Juanfran, Miranda, Godin, Jesus Gamez, Tiago, Koke, Saul, Arda, Griezmann, Mandzukic.
Akiba: Moya, Siqueira, Gimenez, Raul Garcia, Gabi, Jimenez, Torres.
Refa: Felix Brych
Matokeo mengine Juventus ya Italia nayo imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kupata ushindi wa jumla dhidi ya Monaco.
Kwa matokeo hayo FC Barca, Bayern Munich, Real Madrid na Juventus ndio timu nne zilizoingia kwenye nusu fainali ya UCL na ratiba ya mechi zao itapangwa rasmi Ijumaa wiki hii.
VIKOSI:
Real Madrid: Casillas, Carvajal, Varane, Ramos, Coentrao, Pepe, Kroos, Isco, Rodriguez, Ronaldo, Hernandez.
Akiba: Navas, Arbeloa, Khedira, Lucas Silva, Illarmendi, Jese.
Akiba: Navas, Arbeloa, Khedira, Lucas Silva, Illarmendi, Jese.
Atletico Madrid: Oblak, Juanfran, Miranda, Godin, Jesus Gamez, Tiago, Koke, Saul, Arda, Griezmann, Mandzukic.
Akiba: Moya, Siqueira, Gimenez, Raul Garcia, Gabi, Jimenez, Torres.
Refa: Felix Brych
Matokeo mengine Juventus ya Italia nayo imefanikiwa kuingia nusu fainali baada ya kupata ushindi wa jumla dhidi ya Monaco.
Kwa matokeo hayo FC Barca, Bayern Munich, Real Madrid na Juventus ndio timu nne zilizoingia kwenye nusu fainali ya UCL na ratiba ya mechi zao itapangwa rasmi Ijumaa wiki hii.