Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » Ratiba ya michezo yote ya EPL ya wikiendi hii


TZ MZUKA 23:38 0

Ligi Kuu ya Uingereza inataraji kuendelea wikiendi hii kwa michezo nane ya mzunguko wa 27 iliyochezwa kwenye viwanja mbalimbani tofauti nchini humo.
Kila timu inaonyesha kujiandaa kufanya vizuri katika kuhakikisha inapata matokeo mazuri ili kujiweka kwenye nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi hiyo yenye ushindani wa hali ya juu sana msimu huu.
Chelsea bado wanashikilia usukani wa Ligi wakiwa na pointi 60 wakifuatiwa na Manchester City wanayoshika nafasi ya pili wakiwa na pointi 55 wakati Leicester City wakiendelea kushika mkia kwa kuwa na pointi 18.

 RATIBA KAMILI
Jumamosi
15:45 West Ham United vs Crystal Palace
18:00 Burnley vs Swansea City
18:00 Manchester United vs Sunderland
18:00 Newcastle United vs Aston Villa
18:00 Stoke City vs Hull City
18:00 West Bromwich Albion vs Southampton
Jumapili
15:00 Liverpool vs Manchester City
17:05 Arsenal vs Everton

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani