Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » Chris Brown aachana rasmi na msoto wa miaka 6 ya kesi ya kumpiga Rihanna, amaliza ‘probation


TZ MZUKA 10:58 0

Hatimaye probation ya Chris Brown (25) kwenye kesi yake ya kumpiga aliyekuwa girlfriend wake wa wakati huo Rihanna imemalizika, na sasa amemalizana kabisa na kesi hiyo ikiwa ni miaka sita na mwezi mmoja toka atende kosa hilo mwaka 2009.

Breezy ameshare habari hiyo kupitia Twitter kwa kuandika “IM OFF PROBATION!!!!!!!! Thank the Lord!!!!!!”
twt
Staa huyo wa hit single ya ‘Loyal’ alikuwa akikabiliwa na kesi ya kumshambulia Rihanna Feb. 8, 2009 ambapo baada ya kukutwa na hatia alikubali kufanya kazi za jamii ili kukwepa kwenda jela.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani