Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » ALIKIBA NA CHRISTIAN BELLA WAINGIA STUDIO KUANDAA NGOMA MPYA


TZ MZUKA 11:33 0


Alikiba na Christian Bella waingia studio kuandaa ngoma mpya
Christian Bella na Alikiba wameingia studio kutengeneza ngoma ya pamoja.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, jana Christian Bella aliaandika:
 Leo tunakesha studio na Ali Kiba maana mashabiki waliomba sana tuimbe pamoja kaeni makao wakula sasa.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani