ARSENAL ILIVYOITEKETEZA LIVERPOOL BAO 4-1
TZ MZUKA
10:10
0
Baadhi ya Wachezaji wa Arsenal wakimpongeza Ozil baada ya kuwafungia
bao katika kipindi cha kwanza kilichomalizika 3-0, Liverpool wakiwa
nyuma.
Kipindi cha pili dakika ya 76 Liverpool walifanikiwa kupata bao na kufanya 3-1 kwa mkwaju wa penati. Mpaka dakika 90 zinamalizika..Arsenal 4-1, Wafungaji ni Hector Bellerin 37, Mesut Özil 40, Alexis Sánchez 45, Olivier Giroud 90.
Kipindi cha pili dakika ya 76 Liverpool walifanikiwa kupata bao na kufanya 3-1 kwa mkwaju wa penati. Mpaka dakika 90 zinamalizika..Arsenal 4-1, Wafungaji ni Hector Bellerin 37, Mesut Özil 40, Alexis Sánchez 45, Olivier Giroud 90.