Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » FULL TIME: MANCHESTER UNITED vs ASTON VILLA


TZ MZUKA 10:23 0

 Ander Herrera Dakika ya 43 mwishoni mwa kipindi cha kwanza kaifungia bao Man United na Mtanange kwenda mapumziko ya bao 1-0 dhidi ya Aston Villa.

Wayne Rooney aliifungia bao Man United dakika ya 79 kwa kufanya 2-0 akipata pasi kutoka kwa Angel Di Maria nao Aston Villa walipata kona na kupata bao kwa kufanya 2-1 katika dakika ya 80 kupitia kwa Christian Benteke.Mwishoni kwenye dakika za nyongeza Ander Herrera aliongeza bao jingine na kufanya man-united kushinda goli 3-1


«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani