Hivi ndivyo mastaa hawa wakongwe wa soka ZIDANE, RONALDO NA OKOCHA walivyokutana
TZ MZUKA
03:04
0
Wakongwe wa soka duniani jana usiku waliwafurahisha mashabiki wao katika mji wa St Etienne huko Ufaransa walipata bahati kubwa kuwaona magwiji hao soka wakipambana.
Timu mbili za marafiki wa Zinedine Zidane na Ronaldo di Lima zilicheza mchezo uliokuwa na lengo la kupambana na umasikini ambalo hufanyika kila mwaka.
Timu mbili za marafiki wa Zinedine Zidane na Ronaldo di Lima zilicheza mchezo uliokuwa na lengo la kupambana na umasikini ambalo hufanyika kila mwaka.