Jokate Na Ali Kiba hawafichi mapenzi yao tena
TZ MZUKA
21:19
0
Ujumbe ulioamsha team kiba 04 June 2015 ni wa Jokate kwa anayeaminika kuwa mpenzi wake mpya Ali Kiba uliosema ‘All The Best Chèri’ ikiwa ni ishara ya kumtakia siku njema kwenye siku yake anayofanya video nchini Afrika Kusini.
Ujumbe huu uliambatana na hii picha.
Ujumbe huu uliambatana na hii picha.