Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » » VIDEO;JINSI MASHABIKI WA CHELSEA WALIVYOMSUKUMA MTU KWENYE TRENI


TZ MZUKA 05:28 0

 Jana, baada ya mechi ya Chelsea na Paris Saint German fans wa Chelsea wakaingia zao kwenye treni kurudi makwao, lakini walifanya kitendo ambacho kilionekana kuwakwaza wengi na hata uongozi wa Club hiyo pia.
Mashabiki hao walimsukuma kumzuia mtu mmoja ili asipande ndani ya treni hiyo huku wakiimba wimbo uliohisisha ishu ya ubaguzi wa rangi.
Wakati wakimsukuma walikua wakiimba nyimbo za kibaguzi zilizolenga kumdhalilisha.
Tutawaadhibu wote waliohusika na kitendo hiki.. kwenye mpira hatuwezi kuruhusu mambo haya, tumepanga pia kuomba wachunguzi kutoka UEFA waweze kutusaidia kuwapata wote waliohusika“-alisema mmoja wa viongozi wa Club ya Chelsea.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani