Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » CHELSEA YAPATA USHINDI WA GOLI 3-1


TZ MZUKA 21:58 0

 Ushindi huo umeiwezesha kufikisha pointi 80 wakati waliokuwa mabingwa watetezi, Man City wana pointi 67 na wakashinda mechi zao tatu zilizobaki watafikisha pointi 79.

Sasa Chelsea iliyobakiza mechi nne mkononi, inaendelea kushindana naa Arsenal ambayo iwapo itashinda mechi zilizobaki itafikisha pointi 82.

Hivyo Chelsea inahitaji ushindi wa mechi moja tu kujihakikishia ubingwa
Katika mechi ya leo, Leicester ndiyo waliotangulia kufunga bao katikaa dakika ya 45.

Lakini Chelsea wakasawazisha kupitia Didier Drogba katika dakika ya 47, John Terry akaongeza la pili kabla ya Ramirez kufunga la tatu kwa shuti kali baada ya kutengewa na Cesc Fabregas katika dakika ya 83.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani