Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » Kombe la FA limebadilishwa jina sasa kuitwa Emirates FA Cup


TZ MZUKA 11:46 0

Michuano ya Kombe la FA ina ukongwe wake wa kutosha kabisa kwenye Historia ya Soka la Dunia.. mpaka sasa imetimiza jumla miaka yake 144 tangu kuanzishwa kwake.
Habari mpya kutoka ndani ya bodi ya kombe la hilo la FA ni kwamba kwa sasa kuna mabadiliko kwenye jina kutoka FA Cup na kwa sasa litakuwa linaitwa Emirates FA Cup kufuatia mkataba mnono wa paundi milioni 30 ambao FA wameingia na Kampuni ya Emirates kwenye udhamini wa ligi hiyo.
Bodi ya FA imeingia mkataba  na kampuni ya Emirates Airlines kwa miaka mitatu, kesho itatangazwa rasmi juu ya mabadiliko rasmi.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani