Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » HULL CITY 1 vs 0 LIVERPOOL, DAWSON AWATUNGUA LIVERPOOL KC STADIUM


TZ MZUKA 23:18 0


Unaweza kusema Liverpool sasa ni pombe ya ngomani, watu wanajinywea wanavyotaka.


Leo imepoteza tena mchezo wa Ligi Kuu England baada ya kuchapwa bao 1-0 na Hull City.

Mshambuliaji wake Mario Balotelli raia wa Italia, ameshindwa kutamba na kuishuhudia Liverpool ikiuwawa kwa bao hilo moja tu!



«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani