Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » LA LIGA:REAL MADRID YAICHAPA RAYO VALLECANO 2-0 YAIPUMULIA BARCELONA


TZ MZUKA 09:48 0


Real Madrid inazidi kuipumulia Barcelona katika mbio za La Liga baada ya kuichapa Rayo Vallecano 2-0 Kwa ushindi huo, Real Madrid inaendelea kutofautishwa kwa pointi kati yake na Barcelona ambayo hapo awali iliifumua Almeria 4-0. 
Ronaldo akishangilia bao lake la 300 
 
Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Cristiano Ronaldo aliyetupia katika dakika ya 68 muda mfupi baada ya kulimwa kadi ya njano kwa kujirusha huku bao la pili likifungwa na James Rodriguez dakika ya 74.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani