TUZO ZA MWANASOKA BORA WA MWAKA ENGLAND MWAKA 2015
TZ MZUKA
01:49
0
Na tuzo ya mwanasoka bora chipukizi imechuliwa na mshambuliaji wa
Tottenham Hotspur, Harry Kane aliyefanikiwa kushinda nafasi hiyo baada
ya kuwapiku kipa David De Gea wa Man United na Raheem Sterling wa
Liverpool.