Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » Wiz Kid naye awachana waandaji wa tuzo za BET.


TZ MZUKA 13:41 0



Baada ya msanii kutoka Ghana Fuse ODG kuwachana waandaji wa Bet kwa kutoa tuzo za wasanii wa Afrika mapema kabla ya show na eneo wanalopokelea tuzokuwa ni back stage, msanii mwingine mkubwa wa Nigeria ‘Wiz Kid’ pia amefanya hivyo.
Kupitia kurasa yake ya twitter Wiz anasema hakuhudhuria tuzo hizo zilizofanyika jumapili ya tarehe 28 June sababu hakuona maana kama angepata tuzo angeipokea saa nne asubuhi kabla ya show, Wiz anaendelea kusema kuwa hana imani na tuzo sababu ni watu wamekuja pamoja kutayarishwa show yao tu.
wiz 2 wiz

«
Next
This is the most recent post.
»
Previous
Taarifa za zamani