Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» »Unlabelled » Diamond Platnumz Mombasa usiku huu na Nyota Ndogo kwenye ‘Mashariki Festival


TZ MZUKA 13:21 0

4X7A9749
Desemba 12 ni siku ambayo Kenya inasherehekea  maadhimisho miaka 51, ya Sikukuu ya Jamhuri,  sherehe hizo zinafanyika katika Uwanja wa Nyayo na zinagegemewa kuwa fupi tofauti na miaka mingine.

Mastaa wachache watafanya show kwenye Mashariki Festival ambayo inafanyika usiku huu Mombasa, Kenya huku Diamond Platnumz akiwa mmoja kati ya wasanii hao ambae amealikwa.
Hizi ni picha alizoweka msanii huyo akiwa tayari ndani ya Mombasa leo, msafara wa mapokezi yake ulisindikizwa na gari za Polisi.
Dai III
Dai IIIvv
Dai II
Dai IIIV
Dai

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani