Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » Ratiba ya robo fainali Ligi ya mabingwa UEFA


TZ MZUKA 10:09 0

 Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) leo limekamilisha upangaji wa ratiba ya mechi za robo fainali ya ligi ya mabingwa iliyofanyika katika mji wa Nyon, Switzerland.
Katika ratiba hiyo Real Madrid itacheza na Atletico Madrid huku Barcelona wao wakiwa na kibarua kigumu dhidi ya Paris Saint-Germain ama ‘PSG‘ ambayo iliwawekea ngumu na kuwaondoa Chelsea kwenye michuano hiyo.
fifaaaa
FC Porto watakutana na Bayern Munich nao Juventus wakiwa na kibarua kikali dhidi ya AS Monaco ya Ufaransa iliyoiondoa Arsenal.
Hapa unaweza cheki mpangilio huo mtu wangu.
PSG Vs Barcelona
Atletico Madrid Vs Real Madrid
FC Porto Vs Bayern Munich
Juventus Vs AS Monaco

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani