Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » TOTTENHAM HOTSPUR 4 v 3 LEICESTER CITY, HARRY KANE NI BALAA!! APIGA HAT-TRICK LE


TZ MZUKA 10:32 0

























Harry Kane akishangilia moja ya bao lake leo dhidi ya Leicester City
 

BAO za Tottenham Hotspur zilifungwa kipindi cha kwanza na cha pili. Dakika ya 6 Harry 
Kane alianza kuliona lango la Leicester City kwa kufanya 1-0, Dakika ya 13 tena Harry Kane kwa kufanya 2-0 na Kipindi cha pili dakika ya 64 Harry Kane aliifungia bao la tatu kwa Mkwaju wa penati na bao la mwisho la nne ni la kujifunga Leicester kupitia kwa Mchezaji wake Jefferey Schlupp dakika ya 85.
Bao la Leicester City Jamie Vardy dakika ya 38, Wes Morgan alifunga bao dakika ya 50 na D. Nugent alimaliza mchezo kwa kuifungia bao la tatu na la Mwisho dakika ya 90 na kufanya 4-3.
Mpaka Mapumziko ndivyo hali ilivyokuwa.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani