Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » SUAREZ APIGA BAO 2, BARCELONA IKIWA UGENINI YAICHAPWA PSG 3-1


TZ MZUKA 14:15 0



Mshambuliaji Luis Suarez amefunga mabao mawili na PSG imechezea kipigo cha mabao 3-1 ikiwa nyumbani Paris, Ufaransa.

 

 

 

 

 

 

 

 

Mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya nusu fainali ilikuwa tamu na Suarez amefunga mabao mawili, yote akimtoka Luiz na Neymar akafunga moja.

Kwa upande wa PSg walipata bao lao moja kupitia beki Mathieu aliyejifunga baada ya kujaribu kuokoa. Hata hivyo bao hilo limekuwa na utata kuwa apewe aliyepiga shuti au aliyeugonga mpira ukaenda wavuni wakati akiokoa.

PSg inalazimika kushinda bao 2-0 itakapokuwa ugenini Camp Nou ili isonge hadi nusu fainali wakati Barcelona inaonekana kulahisisha kazi.


«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani