Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » Joh Makini Afanya Collabo Na Rapper Huyu Kutoka Afrika Kusini.


TZ MZUKA 02:42 0


Ukiambiwa utaje rappers watatu bora kwa sasa nchini Afrika Kusini, huwezi kuacha kuwataja AKA, Cassper Nyovest na K.O
Katika kuonesha kuwa Weusi hawataki kabisa mchezo mwaka huu, Joh Makini ameingia studio kurekodi wimbo na rapper wa kundi maarufu la Afrika Kusini la Teargas, Ntokozo Mdluli maarufu kama K.O.
 Joh Makini ambaye yupo jijini Johannesburg alikoenda pamoja na G-Nako, Vanessa Mdee na Navy Kenzo, amepost picha Instagram akiwa na K.O na kuandika: #Studio_flow with #KO @mrcashtime himself #2KINGS #ARUSHA_MEETS_JOHANNESBURG #2015 #GODENGINEERING #WEUSIMEETSCASHTIME #amonmyway.”

Joh Makini akiwa na mtangazaji wa MTV Base, Nomuzi Mabena
Hivi karibuni K.O alihit na ngoma ‘Caracara’ aliyomshirikisha Kid X. Tazama Hapa Chini


 
Credit To; Jimmcarter

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani