MZEE ABBY SYKES AFARIKI DUNIA
TZ MZUKA
05:54
0
Msani mkongwe na maarufu wa mziki nchiniTanzania Mzee Abby sykes na baba wa msani wa mziki wa kizazi kipya Dully Sykes Amefariki dunia
Wengi tulimfahamu kutokana na ukaribu wake na Bongo Fleva, aliwahi kuonekana kwenye video za mastaa kadhaa, ikiwemo video ya Daz Baba “Usiku Huu” pamoja na video yaROMA “Kidole cha Mwisho Juu“.
Wengi tulimfahamu kutokana na ukaribu wake na Bongo Fleva, aliwahi kuonekana kwenye video za mastaa kadhaa, ikiwemo video ya Daz Baba “Usiku Huu” pamoja na video yaROMA “Kidole cha Mwisho Juu“.