LIGI KUU ENGLAND: CITY YAFUNGWA, ARSENAL YASHINDA!
TZ MZUKA
15:18
0
Mabingwa wa Ligi Kuu England Manchester City wamefungwa Bao 1-0 na Burnley na kuathiri sana utetezi wa Taji lao.
City sasa wamebaki Pointi 5 nyuma ya Vinara Chelsea ambao wana Mechi 2 mkononi.
Bao la Burnley lilifungwa na George Boyd katika Dakika ya 61.
Mapema Jana Jumamosi Asenal wakicheza kwao Emirates waliichapa West Ham Bao 3-0 na kujizatiti Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 1 nyuma ya City ambao wako Nafasi ya Pili.
Bao za Arsenal zilifungwa na Olivier Giroud, Aaron Ramsey na Flamini.
LIGI KUU ENGLAND
Jumamosi Machi 14
MATOKEO
Crystal Palace 3 QPR 1
Arsenal 3 West Ham 0
Leicester 0 Hull 0
Sunderland 0 Aston Villa 4
WBA 1 Stoke 0
Burnley 1 Man City 0
Credit To;;www.sokaintanzania.com
City sasa wamebaki Pointi 5 nyuma ya Vinara Chelsea ambao wana Mechi 2 mkononi.
Bao la Burnley lilifungwa na George Boyd katika Dakika ya 61.
Mapema Jana Jumamosi Asenal wakicheza kwao Emirates waliichapa West Ham Bao 3-0 na kujizatiti Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 1 nyuma ya City ambao wako Nafasi ya Pili.
Bao za Arsenal zilifungwa na Olivier Giroud, Aaron Ramsey na Flamini.
LIGI KUU ENGLAND
Jumamosi Machi 14
MATOKEO
Crystal Palace 3 QPR 1
Arsenal 3 West Ham 0
Leicester 0 Hull 0
Sunderland 0 Aston Villa 4
WBA 1 Stoke 0
Burnley 1 Man City 0
Credit To;;www.sokaintanzania.com