Ziko Hapa Picha Behind The Scenes Ya Iyanya Na Diamond Platnumz Wakishoot Video Huko Nigeria
TZ MZUKA
13:59
0
Baada ya kuachiwa audio ya collabo mpya
ya Iyanya aliyomshirikisha Diamond Platnumz, kwa sasa ‘Nakupenda‘
imewakutanisha mastar hao Nigeria wakiwa kwenye mchakato mzima wa
kuandaa video ya wimbo huo.
Director wa video ni Patrick Ellis, ujumbe wa Diamond kwenye ukurasa wake wa Instagram aliandika hivi; “Hufai eti, wansema Unavuaga tu Sketi….. Na Ntaregret we Shuka Mwenzako Blangeti….!!!!!! Onset!!#NAKUPENDA @iyanya ft your Boy!” @diamondplatnumz
Director wa video ni Patrick Ellis, ujumbe wa Diamond kwenye ukurasa wake wa Instagram aliandika hivi; “Hufai eti, wansema Unavuaga tu Sketi….. Na Ntaregret we Shuka Mwenzako Blangeti….!!!!!! Onset!!#NAKUPENDA @iyanya ft your Boy!” @diamondplatnumz