Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » FULL TIME: ATLETICO MADRID 0 vs 1 BARCELONA, LIONEL MESSI AFUNGA BAO LA USHINDI, BARCELONA MABINGWA SASA LA LIGA MSIMU 2014-2015!


TZ MZUKA 12:28 0

. Barcelona wametazwa rasmi kuwa Mabingwa wa La Liga baada ya kuwafunga waliokuwa mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Atletico Madrid katika mchezo uliomalizika hivi punde.
Lionel Messi alifunga goli pekee lilowahakikishia Barca ubingwa huo katika dimba la Vicente Calderon.
Ubingwa huu unakuwa wa 23 katika historia ya klabu hiyo ya Catalunya.
Barca watakabidhiwa kombe lao watakapocheza mchezo wa mwisho wa ligi wiki ijayo.

Lionel Messi akishangilia bao lake la pekee usiku huu dhidi ya Atletico Madrid katika kipindi cha pili.Kikosi cha BarcelonaVIKOSI:
Atletico Madrid:
Oblak, Juanfran, Godín, Giménez, Siqueira, Mario Suarez, Gabi, Koke, Arda, Griezmann, Torres.
Barcelona: Bravo, Alves, Alba, Pique, Mascherano, Rakitic, Busquets, Iniesta, Messi, Neymar and Pedro.

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani