Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » Pichaz;Ali Kiba avamiwa na majambazi zaidi ya 15 Nyumbani kwake


TZ MZUKA 02:58 0


Msanii wa bongo fleva Abdu Kiba amenifahamisha asubuhi ya 2 April 2015 kuwa Kaka Yake Ali Kiba amevamiwa na majambazi nyumbani kwake kunduchi jijini Dar es salaam.
Abdu kiba anasema ” alikuwa Masaki na kupoke simu kutoka kwa Ali Kiba kuwa anahitaji msaada wake baada ya kuvamiwa na watu zaidi ya 15 hivi. Abdu anasema wakati anaenda nyumbani alikutana na defender ya pilosi na kuipigia kelele na kuwapeleka nyumbani .
Abdu Kiba anasema “Hawakuweza kumuona Ali sababu alijifich ila Wameiba kila kitu cha thamani, wameiba milioni mbili na nusu chumbani kwangu na pesa zingine kutoka kwenye chumba cha dada yetu. Wamekatisha mipango kibao iliyotakiwa kufanyika hivi karibuni kama photo shoot ya wimbo wangu mpya
Uharibifu uliofanyika ni mkubwa sana na tumeshatoa taarifa polisi na wamefanya msako mkubwa kwenye maeneo haya usiku huu, alisema Abdu Kiba

«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani