UEFA Champions League;Matokeo ya Arsenal na Monaco yako hapa
TZ MZUKA
14:41
0
Michuano ya ligi ya mabingwa wa ulaya imeendelea leo tena katika
hatua ya 16 bora ya michuano ambapo Arsenal waliikaribisha katika Monaco dimba la Emirates Stadium katika mchezo wa
raundi ya kwanza ya hatua hiyo ya mtoano wa michuano hiyo.
Ambapo Monaco wamewafunga Arsenal magoli 3-1 magoli ya Monaco yalifungwa na Y. Ferreira-Carrasco, D. Berbatov, Kondogbia na bao la kufutia machozi la ARSENAL limefungwa na A. Oxlade-Chamberlain
MATOKEO YA BAYER LEVERKUSEN NA ATLETICO MADRID
Ambapo Monaco wamewafunga Arsenal magoli 3-1 magoli ya Monaco yalifungwa na Y. Ferreira-Carrasco, D. Berbatov, Kondogbia na bao la kufutia machozi la ARSENAL limefungwa na A. Oxlade-Chamberlain
MATOKEO YA BAYER LEVERKUSEN NA ATLETICO MADRID