Select Menu
Select Menu

Sports

Sports

Entertainment

Music

Video

News

Video

» » JUVENTUS YAICHAPA MADRID BAO 2-1, TEVEZ SHUJAA


TZ MZUKA 14:14 0


Ingawa watu waliidharau Juventus, lakini imeanza mechi yake ya kwanza ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuwatuliza Real Madrid kwa kuwachapa 2-1.



Madrid ikiwa ugenini ilijikuta ikifungwa bao kupitia Alvaro Morata kabla ya Cristiano Ronaldo kuisawazishia Madrid.

Lakini shujaa wa Juventus alikuwa ni Carlos Tevez aliyefunga bao la pili katika kipindi cha pili kwa mkwaju wa penalti.

Madrid walijaribu kujitutumua lakini hawakuweza kusawazisha, hali inayowalazimu kuwa na kazi ngumu katika mechi ya marudiano kwao Santiago Benabeu.


«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani